SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Jifunze Namna Ya Kuwa Muangalifu Na Fedha Zako Kutoka Kwa Muandishi Arese Ungwu
Mitindo

Jifunze Namna Ya Kuwa Muangalifu Na Fedha Zako Kutoka Kwa Muandishi Arese Ungwu 

Kama katika pitapita zako ulikutana na kitabu ambacho kilifanya vizuri sana barani kwetu Africa kiitwacho “The Smart Money Women” basi muandishi wa hiki kitabu yupo Nchini Tanzania kutoka Nigeria, Muandishi ARESE UNGWU amekuja Tanzania kutoa darasa maalumu juu ya matumizi ya sahihi ya fedha na namna ya kuondokana na madeni.

Katika kitabu chake cha “The Smart Money Women” Arese ameongelea maisha ya wanadada watano ambao wanamatatizo ya kifedha japo wana kazi nzuri na wanalipwa vizuri ” tunaweza kusema ni kitabu kinacho lenga wadada wengi wa mjini hasa slay queens, japo hata kama sio slay queen unahitaji kujua namna ya kutunza na kutumia fedha zako vizuri

Maisha ya Zuri ambaye ni mhusika mkuu katika kitabu ni mazuri na ameajiriwa katika moja ya kampuni kubwa kabisa Nigeria, analipwa hela nyingi lakini you broke na madeni kibao. Zuri anaamua kukaa na kutafakari anapokosea , anaanza kuandika matumizi ya pesa zake .

Wadada wote katika kitabu ni wa kisasa, wanapenda fashion na kwenda na wakati hivyo walikuwa na matumizi makubwa bila kufuata mpangilio , siku moja Zuri alikaa na wenzake na wote kwa pamoja wakaamua matumizi sahihi ya fedha na wakaamua kuanza matumizi sahihi kwa kufuata budget .

Mwandishi wa ktabu hiki kinachoendelea kufanya vizuri yuko nchini kwa ajili ya darasa huru la wadada juu ya mmatumizi sahihi ya fedha . Event yake itafanyika tarehe 22.06 .2018 saa kumi na moja jioni na utaweza kujipatia kitabu cha bure baada ya kujisajili na kulipia kiingilio. Jisajili sasa  kwa linki hii thesmartmoneywomen

Related posts

1 Comment

  1. เบต้าเอ็กซ์

    … [Trackback]

    […] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jifunze-namna-ya-kuwa-muangalifu-na-fedha-zako-kutoka-kwa-muandishi-arese-ungwu/ […]

Comments are closed.