Linnah Sanga ni mwanamuziki wa bongo flava ambae kwa sasa anaonekana kupendeza zaidi, kwenda kimitindo kuliko miaka ya nyuma. Kilichopo kwa sasa ni Fur Shoes ni vile viatu vinakua manyoya juu tumeshaona makampuni makubwa yaki tengeneza hivi viatu kama Puma X Fenty (Rihanna). Watu wengi maarufuwa Nchini na nje ya Nchi wameonekana kupendelea kuvaa hivi viatu mmoja wapo ni Bibi Linnah Sanga, ambae yeye tumemuona navyo vya nude na blue
Nude alivivaa mara mbili, mara ya kwanza alivaa na short pant nyeupe na top ua long sleeve nyeupe, brown lipstick aka accessorize na choker nyeusi
kavivaa tena na little dress nyeusi hapa hakujiremba sana simple tu
vya blue alivivaa pamoja na gauni fupi lenye blue na nyeuope, viatu hivi vinauzwa $90 sawa na fedha za ki Tanzania tsh 198,000
Unaweza kununua hapa
kwa maoni yako una weza kutuachia comment kwenye ki box cha comments au tembelea kurasa zetu katika mitandao ya kijamii
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…