Ni mara chache sana kumuona mvulana/mwanaume kavaa pink, japo kuna wengine ambao hawajali as long as wanapendeza wao wana vaa tu, hivi ndivyo Noel Ndale, Martin Kadinda na Ben Pol walivyo zi style blazer/koti zao za pink
Noel Ndale au @noelgio_tz amevaa pink blazer yake na shati jeupe, jeans, viatu vyeusi huku akiwa ame accessorize na tai ya grey, miwani na saa. He looked sharp
Martin Kadinda au @matinkadindaofficial huyu ni mbunifu yeye ame style pink blazer yake na jeans, shirt la pink na simple sneakers za pink casual ila stylish
Ben Pol au baba sofia yeye alivaa pink blazer yake na jeans nyeupe na shirt jeupe ame accessorize na miwani na saa
Tuna tumai ume pata idea za jinsi ya kuvaa blazer yako next time ukitaka kuivaa
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-martinnoel-na-benpol-walivyo-style-pink-blazer/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-martinnoel-na-benpol-walivyo-style-pink-blazer/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-martinnoel-na-benpol-walivyo-style-pink-blazer/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 29117 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-martinnoel-na-benpol-walivyo-style-pink-blazer/ […]