Tuxedo dress ni moja ya essentials ambazo kila mwanadada ana paswa kuwa nayo na hii ni kutokana na kwamba ni rahisi kui-style lakini pia ina fit kila mahali, iwe casual,smart au business wear. Juma hili tumeona mastaa mbalimbali wakiwa wamevalia vazi hili wakiwa wana hudhuria hafla mbalimbali au katika mitoko yao binafsi
Muigizaji Leslie Jones alihudhuria hafla ya Time 100 Met Gala akiwa amevalia Tuxedo dress nyeupe na open heels nyeusi, amemalizia muonekano wake na miwani & clutch, tumependa muonekano huu kutoka kwake ame slay effortless
Lakini pia tumemuona muigizaji ambae ni slayer Blake Livery akiwa amevalia Tuxedo ya dark blue, ambayo aliistyle na white shirt na colorful bow tie,amemalizia muonekano wake na cute pumps.
Halle Berry nae ameonekana kuvutiwa na vazi hili ambapo yeye alivaa a gray tuxedo dress aliyo malizia na gray pumps, Halle looked flawless effortlessly
Tumeowaona fashionista’s pia wakiwa katika vazi hili
Slayer Olar Slim yeye aliamua kuvaa all pink outfit ambapo alivaa tuxedo dress ya pink na pumps za pink akiwa amemalizia muonekno wake na clutch
All black outfit with a dash of red lips kutoka kwa stylist na makeup artist Sindi Dlamini
Kwetu Tanzania tumemuona Nasreen Karim akiwa amevalia pink tuxedo dress na yeye amevaa na pink shoes akiwa amemalizia na beaded enjipai necklace
Well hapo juu tumeona wengi wakiwa wamevalia heels lakini unaweza kuvalia flats, raba na hata boots ina tegemea na uendapo na mapenzi yako.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-tuxedo-dress-ilivyovamiwa-na-mastaa/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-tuxedo-dress-ilivyovamiwa-na-mastaa/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-tuxedo-dress-ilivyovamiwa-na-mastaa/ […]