As usual tunapenda weekend ikiwa na event maana tunapata muda wa kuona ni jinsi gani watu maarufu wetu wame improve katika mavazi hasa kwenye red carpet, Jana kulikuwa na event ya Malkia wa nguvu na watu maarufu mbalimbali walihudhuria katika hafla hii na hawa ndio baadhi yao na namna walivyovaa
Mwanamuziki Lulu Diva akiwa amevalia lemon dress kutoka kwa Jacques Collection, tunaeza kusema alipania everything is on point the color is popin, shoes on point & make up on fleek tumependa huu muonekano tunampa 10/10
Feza Kessy yeye aliamua kuvaa a black dress ambayo ilimpendeza sana, tumependa viatu vyake lakini mostly ni make up na accessories alizo vaa kwenda pamoja na hii gauni, amebadilika mno & its okay to change sometimes 9.5 kwake.
Meena Ally amevalia suit kutoka kwa mbunifu boardington_gondwe tumependa jinsi alivyo accessorize hii suit, layered necklace & a long black coat to calm the suit color out of 10 tunampa 8.5
Shadee alikuwa host wa red carpet na alivaa this cute pink dress na gold shoes, hatuwezi kusema she went all in au hakupendeza she looked just fine tunampa 8
Idris Sultan aliwawakilisha vyema wanaume katika hii event, alivaa lavender suit coat, gray trouser na ame accessorize suit yake hii na scarf, he looked sharp 9.8 kwake.
Maua Sama rocking nude jumpsuit na nude shoes we love the look on her, amekuwa styled na Noel Gio na yeye anapata 8.5
Makeup artist Lavie Makeup yeye aliamua kuvaa a kitenge skirt kutoka kwa mbunifu Lucky Creations na black shirt akimalizia na green pumps zilizo endana rangi na skirt yake, not her best look lakini sio mbaya pia well amechukua 6.5
Nandy alivaa purple & blue dress amependeza but we will give her 5.5 she could have done more.
Tuambie wewe umempenda nani zaidi na nani unahisi alizogoa?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-watu-walivyo-vaa-katika-hafla-ya-malkia-wa-nguvu-2018/ […]