B) Jifunze ujuzi wa masoko
Jua nini tofauti kati ya bidhaa yako na wengine
Kwanini mteja atoke kwenye bidhaa aliyo izoea aje kwenye bidhaa yako (jifunze mapungufu yaw engine)
Ni ufungaji gani ambao unaweza kuleta utambulisho mzuri wa bidhaa,kufanya uaminifu na utegemevu kuungana pamoja.
Ni kiungo gani maalumu utakacho kiegemea? Je ni asili,kikaboni “organic” au vinginevyo? Na kuwa na dondoo za kisayansi ku kukupa mgongo wa wewe kudai bidhaa yako itafanya kile ambacho una haidi.
3) MAANDALIZI YA BIASHARA
- A) Fikiria jina
Hii ni sehemu muhimu Zaidi ya biashara yako ambayo ita ielezea bishaa yako pamoja na biashara yako. Unaweza ukachagua jina lako kama jina la bidhaa yako lakini pia unaweza ukachagua neno lolote ambalo litamfanya mnunuaji aangalie mara mbili.
- B) Maamuzi ya kwamba utaanzia kufanya biashara yako nyumbani au utakodisha eneo
Kama utachagua kukodisha jengo chagua sehemu ambayo si ghali kwa maana ndio kwanza unaanza utahitaji pesa kwa ajili ya kuanza hio biashara lakini si mbaya kama utaanzia nyumbani kwanza.
- c) Ongea na wahasibu na washauri wa kisheria unapo anza maandalizi ya biashara
utahitaji vitu kama ushuru,bima na kujua kama biashara yako imefikia viwango vya kuuzwa, unahitaji kujua mipaka pia na vitu kama mishahara, jinsi ya kuhifadhi bidhaa isipoteze ubora nk.
4) TAGAZA BIASHARA YAKO
- A) uza/tangaza biasahara yako kwa njia nyingi uwezavyo.
Hii inajumlisha kutembeza biashara yako maofisini, kwenye maduka,mitaani, kwenye duka lako mwenyewe na hata kwenye mitandao.
- B) Kua na mwongozo wa wazi katika kichwa chako.
Unapo kutana na wateja lazima uwaambie kwanini biashara yako ni bora kuliko za wengine, unahitaji sababu tano za kuwaambia pia unahitajika kuwa tayari kwa maswali yoyote kutoka kwa wateja pia na ushauri, washauri wateja watumie vipodozi vya aina gani kutoka kwako kutokana na ngozi zao au mahitaji yao.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kuanzisha-vipodozi-vyako-mwenyewe-mwisho/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 20926 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kuanzisha-vipodozi-vyako-mwenyewe-mwisho/ […]