Wengi tunapenda kuanzisha bidhaa zetu wenyewe za vipodozi lakini hatujiu tuanzie wapi, mtu anaweza akawa ana penda awe kama Shekha Manjano lakini hajui aanzie wapi na hawezi kumpata akamuuliza hizi ni njia ambazo zina weza kukusaidia kutimiza ndoto yako.
Pata uelewa wa jinsi ambavyo vipodozi vina fanya kazi na vipodozi vipi vilivyopo sokoni
Kama una taka kuinga kwenye biashara ya vipodozi unatakiwa uwe na uelewa mkubwa wa kwanini na vipi vipodozi vinafanya kazi. Hii ni Zaidi ya kuvipaka usoni mwako-inamanisha uwe una elewa historia yake nyuma ya bidhaa za vipodozi nini kina fanyika. Njia zitumikazo kujua aina za nyuso, kutoka mkavu,wenye mafuta hadi chunusi.
Njia za kukuza uelewa wako:
- Pata stashahada ya vipodozi (soma chuo)
- Soma wasifu wa watu ambao wamesha anzisha vipodozi vyao ndani nan je ya ulipo kama vile Shekha Manjano.
- Jifunze njia mbadala za kupata viungo vya vipodozi
- Chukua muda wako kujifunza viungo vipi vinaingiliana katika vipodozi tofauti tofauti kama lipstic, foundation.
Fanya majaribio nyumbani:
Azima/nunua vitabu vya mafunzo ya kutengeneza vipodozi. Hii itakusaidia kukuza uelewa wa jinsi ya viungo vinavyo fanya kazi na na kukuwezesha kufanya maamuzi sahihi
- Jaribu kuwapa rafiki zako au ndugu zako majaribio yako na uchukue ushauri kutoka kwao.
2)FANYA MAAMUZI YA AINA YA KIPODOZI UIPENDAYO
Chagua ni aina ipi ya vipodozi unayo taka kuifanya
Neno “VIPODOZI” lina beba vitu vingi kama nywele,uso,ngozi, nakadhalika, kwaio ni vizuri Zaidi ukijua wapi hasa ndio lengo lako kuu. Kujua nini unataka ni bora Zaidi jikite kwa kile unacho kiweza na unacho kipenda kile ambacho unaweza kupata mawazo tofauti tofauti na kukifanya kiwe bora kila ukiamka asubuhi.
- Kwanza kuza jina na pata mawazo tofauti tofauti kwa kipodozi kimoja ukisha pata uwezo wa kuweza kufanya vingine una fanya.
ITAENDELEA….
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…