Tunahifadhi vitu vingi kwenye mikoba na hii upelekea kuleta harufu ndani ya mikoba hii, mchanganyiko wa vitu tunavyo hifadhi na hili joto vikikutana basi inaleta tafrani na inawezekana ukaona aibu kufungua mkoba wako mbele za watu. Kuna namna mbali mbali rahisi za kufanya mkoba wako unukie vizuri
- Osha/Fua
Mara nyingi huwa tunasahau kuosha mikoba yetu, tunafuta tu nje unaonekana msafi lakini ndani hatukumbuki, inafaa kufua mkoba wako ndani pale unapochafuka na kama ungependa unukie basi unaweza kutumia sabuni za kunukia na hii itafanya mkoba wako kunukia vyema.
- Uweke upate hewa
Kwa sababu huwa tunafunga mikoba yetu wakati wote harufu inazidi kukaa ndani, ni vyema kuuacha upate hewa ili kuondoa ile harufu ya ndani kama unaweza toa kila kitu ndani na uache ukae kwenye upepo, unaweza kuuanika nje ndani ndani nje kwenye kamba.
- Perfume
Pulizia perfume kwenye kitambaa kidogo inaweza kuwa ribbon, iache ikauke na hewa kisha kichukue kitambaa hiko na ukiweke chini ya handbag yako na handbag yako itanukia fresh.
Well hopefully tumekusaidia lakini pia share na sisi je huwa unafanyaje kufanya mkoba wako unukie vyema.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kufanya-mkoba-wako-unukie-vizuri/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kufanya-mkoba-wako-unukie-vizuri/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kufanya-mkoba-wako-unukie-vizuri/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kufanya-mkoba-wako-unukie-vizuri/ […]