Jua linawaka na joto linachukua nafasi yake kwa kasi, na huu mwezi mtukufu unaweza kughairi kutoka nje au kwenda kazini kwa hali hii ya hewa. Lakini vipi utaacha kwenda kazini kwa sababu tu jua/joto kali? huwezi right? unatoka hivyo hivyo tu huku ukiwa umevaa hijab zako joto linakupiga, jasho na mchoko wa swaum lakini kumbe una weza kuepuka kuchoka sana kwa ku style mavazi yako vizuri, una weza kujiuliza una wezaje kufanya hivyo? Jua au jasho litakuchosha sana endapo utavaa mavazi mazito au ya rangi fulani mfano rangi nyeusi lakini ukivaa nguo zaina fulani una weza ukapunguza kwa kiasi fulani joto na kuchoka.
Cotton Scarf/Hijab – Cotton hijabs ni nzuri kipindi hiki cha jua na joto kwa sababu ni nyepesi na ni rahisi pia kupatikana chagua rangi ambazo haziakisi jua (click hapa kujua rangi za hijab nzuri)
Suruali za Cotton na Light Jeans – Kama ni mpenzi wa jeans tuna kushauri uchague zile ambazo zinavutika (itakupa urahisi katika kutembea) na zenye light color ambazo haziwezi kuhakisi jua.
Suruali za Cotton au zile nyepesi kama za Cotton nazo zinafaa sana katika simu huu zina weza zikawa wide legs, flares, high waist etc you know, just to keep it stylish & fashionable
Long Cotton Dress & Skirts – Dresses na skirt zinakupa ile feminine look na kizuri zaidi ni kwamba una weza kuzistyle namna nyingi tofauti tofauti ukiwa tu unajua how to layer them na layer them smartly (layering ni kuvaa nguo juu ya nguo eg unapovaa gauni, ukavaa na koti juu yake hio inaitwa layering)
- Kimono – jinsi ya kulayer gaun, skirt au suruali inafaa na kimono lakini vizuri ukachagua kimono chepesi na chenye rangi nzuri
Skirts ni rahisi kuvaa kipindi hiki cha joto una weza kuvaa na simple shirt, blouse top etc na ukawa good to go
Ps: usisahau ku accessorize mtoko wako kwa ajili ya super chic look
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kustyle-hijab-yako-msimu-huu-wa-joto/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kustyle-hijab-yako-msimu-huu-wa-joto/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 92505 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jinsi-ya-kustyle-hijab-yako-msimu-huu-wa-joto/ […]