Aliyekuwa Miss Tanzania No2,2016 na sasa ni Mfanyabiashara Jokate Mwegelo ambae ana sifa nyingi za kuzitangaza Nchi yetu imeonekana huu ni mwaka wake wa maendeleo kwanza kwa kufanikiwa kutajwa Kama Billionaire wail tabiliwa kutoka Tanzania ambao wanapo chini ya Miami 30 na gazeti la Forbes, Lakini pia jana Jokate kupitia account zake katika mitandao ya Kijamii ametangaza kuwa featured na gazeti la Elle Kutoka South Africa
Katika Jarida hilo Jokate ameonglea kuhusu mavazi yake amesema kutokana na kazi zake za kijamii mara nyingi analazimika kuvaa kawaida kama, jeans, white tee na sneakerz lakini pia anaweza kuvaa super killer outfits na full makeup on, kwa ujumla anapenda kuonekana neat na clssy. Lakini pia anpenda sana kuvaa power suit na mtu wake anaemuaminia ni mbunifu kutoka Tanzania Ki2pe. Wameongelea sehemu anazo penda kufanya shopping ambapo amesema kwa handmade accessories huwa anashop kariakkoo lakini pia anapenda kufanya shopping popote.
Tulicho kipenda kutoka kwenye hii shoot na hii feature kutoka kwa Jokate na Elle Magazine South Africa ni kwamba Jokate ametumia Local Brands kutoka Tanzania ambapo ametumia upcoming designers kama Ki2pe na Bonuzi, ametumia nafasi yake kutangaza wabunifu wetu na vya kwetu. Way to Go Jokate we rise by lifting others.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 80522 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jokate-mwegelo-amekuwa-featured-in-elle-magazine-south-africa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 88182 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jokate-mwegelo-amekuwa-featured-in-elle-magazine-south-africa/ […]