Japo Dunia ya sasa wengi hawaangalii aina ya miili yao, na wengi wanasema ukisubiri hadi upungue au unenepe ndio uvae utachelewa. Ni kitu kizuri hasa kutokana na kwamba fashion haina mipaka na kwamba ukiridhika na nafsi yako basi inatosha lakini si mbaya kama tukikupa tips za nini kinafaaa kuvaliwa na mwenye umbo la aina ipi ili kukuwezesha kujua zile basic items zako unazo hitaji ni za aina ipi,
Kuna aina mbalimbali za miili / maumbo lakini kuna zile tano (5) ambazo ndizo famous sana nazo ni
- Umbo Aina Ya Apple
- Aina ya umbo hili huwa na mkusanyiko wa uzito maeneo ya tumboni ( juu ya hips)
- Huwa na mabega mapana
- Best Asset – Miguu
- Fashion Goal : Kuficha mkusanyiko maeneo ya tumboni wakati ukionyesha miguu yako na kutengeneza small waist.
Nini Ufanye Na Nini Usifanye Ukiwa Na Umbo La Aina Hii
Watu maarufu wenye aina ya hili umbo mmoja wapo ni mwanamuziki Adele lakini kwa hapa Tanzania tunaweza kusema Shilole anaingia hapa
- Umbo aina ya pear
- Wenye aina ya miili huwa na sehemu ya chini ya maungio yao (kuanzia kiunoni kwenda miguuni) papana kuliko kiunoni kupanda juu ( yaani kiunoni kuelekea kichwani
- best feature yako ni kiuno na mabega.
- Fashion Goal : kutilia mkazo kiuno chako kionekane pamoja na mabega lakini pia kuonyesha hips
Umbo hili ni ndio umbo ambalo linatamba sana kwa sasa, watu maarufu wengi wanalo akiwepo Kim Kardashian na hapa Tanzania tunae Wema Sepetu
Aina nyingine tatu zitafuata next week
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 68553 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jua-aina-ya-mwili-wako-na-mavazi-yanayo-kufaa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/jua-aina-ya-mwili-wako-na-mavazi-yanayo-kufaa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 64175 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jua-aina-ya-mwili-wako-na-mavazi-yanayo-kufaa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/jua-aina-ya-mwili-wako-na-mavazi-yanayo-kufaa/ […]