Weekend ilikuwa na mengi lakini mojawapo ni kuwa na birthday ya msanii wa bongo flava Juma Jux, wasanii na watu maarufu mbalimbali walihudhuria na sisi jicho letu lilikuwa kwenye mavazi, wengi walijitahidi tunadhani theme ya birthday ilikuwa black kwa sababu wengi walionekana in black outfits
- Mlengwa Juma Jux
Juma alivaa black & white tuxedo kutoka kwa mbunifu chidy_designs, we all know Juma doesn’t play linapokuja katika swala la appearance yake iwe kwenye event kubwa, casual au hata kwenye stage he just know what works for him, well tumependa he looked smart and classy.
- Vanessa Mdee a.k.a Vee Money
Vanessa alivaa a little sexy black dress iliyomkaa vyema na strap sandals amemalizia muonekano wake na necklace na blonde long hair do, well she didn’t want to outshine birthday boy and it was a birthday dinner. they say couple who slay together stay together
- Lulu Diva
yeye aliva a embellished silver & black dress ambayo inatuma some balmain vibes, amemalizia muonekano wake na strap black & silver shoes tunaweza kusema the dress imefunika viatu, the dress is too good for these shoes amekuwa styled na Macrida Joseph, haja chukiza but chaguo la viatu sio pendwa kwetu.
- Maua Sama
alichagua bright blue suit by brightmasambu, she looked good kama unamfuatilia Maua she barely wear color so anapovaa rangi huwa anashtua kidogo na kuonekana tofauti she opted for blush pink pumps na akamalizia muoenekano wake na wave hair, she looked good except for the hair and under garment juu real didn’t fit in.
- Gigy Money
What can we say this outfit looks kama hii mifuko ya rambo when you opt for leather be sure kuchagua ile ambayo ni nzito this kind of leather looks cheap and tacky, the hair is on point & makeup done well, on legs side its just Gigy being Gigy.
photo credit – @chriss_r7
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/juma-jux-birthday-party-fashion-review/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 44910 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/juma-jux-birthday-party-fashion-review/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/juma-jux-birthday-party-fashion-review/ […]