Jux ni trend settler tuseme huwa ana style za peke yake na tuna weza kusema he understands fashion, katika picha zake mpya ameonekana kuvaa a vintage style kwa wale mtakao jiuliza vintage ni nini, jibu ni hili VINTAGE ni style ama nguo ambazo zina zina onyesha (imitates) siku za nyuma mfano- leo mtu akavaa bwanga na raizon hio ni vintage lakini pia rangi zina matter katika haya mavazi tutaongelea zaidi kuhusu hili katika post zijazo, kwaio jana ndio Jux akaamua kutu take us all the way back on black & white
jux amevaa long sleeve tee ambayo ina mistari ya rangi nyeupe na nyeusi, kavaa suruali nyeusi akamalizia na mkanda
Jux hawezi ku step out bila accesoriez ame mis- match accessories yaani kavaa gold na silver in which huwa haviendagi ila kwa sababu ni vintage acha tu pass out hilo, akamalizia na miwani yenye black & white
je unaonaje kushusu muonekano huu wa jux ame pendeza au lah? tuambie
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…