Leo katika Historia Tupo na mwanadada Narietha Boniface,
Alizaliwa mwaka 1993 na alifanikiwa kuiwakilisha nchi katika mashindano mawili, Miss Earth 2014 na Miss Universe 2014
Wengi walimfahamu baada ya kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Miss Earth na baadae Miss Universe 2014.
Mwanadada Nare alianzia Miss Tanzania ambapo alianza kwa kushinda Taji la Redd’s Miss chang’ombe na baadae alienda kushiriki miss Temeke na kushika nafasi ya pili,
Hapa ni shindano la Miss Temeke 2013 (wakwanza kulia)
Narietha hakuishia hapo alipata nafasi ya kushiriki miss Tanzania 2013, Ambapo alishinda kipengele cha Miss Tanzania Top Model na aliingia Top 15 ya Miss Tanzania 2013.
Baada ya kutangazwa mshindi Redd’s Miss Tanzania Top Model 2013
Safari ya mwanadada nare Haikuishia hapo, Mwaka 2014 alishiriki Miss Universe Tanzania, Na alifanikiwa kushika nafasi ya pili na kuvikwa taji la Miss Earth Tanzania 2014,
Hapa alikuwa Quezon City nchini Philippines. Kwenye shindano la Miss Earth
Mwanadada Nare alifanikiwa kuiwakilisha nchi katika mashindano mawili, Miss Erath na Miss Universe (hii ilitokana na mshindi wa miss universe Tanzania 2014 ‘Caroline Bernard’ kupata matatizo ya kiafya)
Hapa mwanadada Neli akiwa kwenye beach wear na Evening gown competition.
Hapa mwanadada Nale akiwa kwenye National costume (Miss universe) Miami Frolida, United State
Kipi tunajifunza hapa?
Safari ya mafanikio sio rahisi ni lazima kupambana, Hii ni kwa wanadada wote ambao wanashiriki shindano moja, wakishindwa wanakata tamaa.. Usikubali kukata tamaa wala kukatishwa tamaa, kila unapotaka kukata tamaa kumbuka kuwa “ wewe ni wa kipekee na una kitu cha kipekee na hauwezi fanana na mwingine “so keep fighting
Post imeandikwa na @beautypageants_tanzania
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/keep-fighting-inspiration-by-narietha-boniface-miss-earth-miss-universe-2014/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/keep-fighting-inspiration-by-narietha-boniface-miss-earth-miss-universe-2014/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/keep-fighting-inspiration-by-narietha-boniface-miss-earth-miss-universe-2014/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 51667 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/keep-fighting-inspiration-by-narietha-boniface-miss-earth-miss-universe-2014/ […]