Imekuwa kawaida kwa baadhi ya watu kutengeneza meme kuhusu kaka zetu wanavyo vaa suruali zao, wengi wakiwa wana sema mwishoe hawato vaa kabisa nguo
lakini pia imeonekana kwa wadada kuwa too much na hizi styles za jeans ila kwa the Jenner’s wao wanaona kawaida tu kuvaa hizi jeans ambazo sisi zina tupa a mmmh feelings alianza Kyle kwa kuvaa Ripped jeans ambayo ime chana nyuma kwenye kalio
tulishangaa na kusema nani atavaa hizi but to our surprise watu walizivaa lol anything for fashion sake. Alhamisi dada wa Kyle anaeitwa Kendall Jenner ambaye kwa sasa ni model mkubwa sana alionekana na hili vazi akiwa ame valia striped shirt na hii pensi au sijui suruali ambayo ime chanwa well labda muiangalie kwanza kabla hatuja idadavua
Ukiangalia kwa makini hiko kivazi utaona kuna kama mkanda ume ning’inia ukaja mpaka chini huku ukafungwa yaani ni kama ilikuwa suruali waka ichana iwe pensi lakini kule kwa kuingizia miguu na sehemu ya hips wakaiacha (if it make sense) hii pia ika tufanya tuwaze nani atavaa hii, je is this another trend ambayo the Jenners wana kuja nayo ikumbukwe dada yao Khloe Kardashian ana kampuni ya jeans anakuja nayo Je hii ni moja wapo ambayo inakuja kutoka kwao? let us take seat sip some tea huku tukiwa tunasubiri kuona what next. By 2019 hatuto vaa nguo kabisa just thinking out loud
Unaweza kuwasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kendall-jenner-tayari-yupo-2019-kwa-hii-denim-pant/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kendall-jenner-tayari-yupo-2019-kwa-hii-denim-pant/ […]