Tunajua kwamba kuna sehemu moja tu ambapo utapata kushuhudia collection za Wabunifu wetu kutoka Tanzania basi ni katika Jukwaa na Swahili Fashion Week, leo katika throw back tunakuletea Collection ya Mbunifu Kiki Zimba ambayo alii-debut katika jukwaa la Swahili Fashion Week mwaka 2015.
Kiki ni moja kati wa wabunifu ambao Tanzania wanahitaji kujivunia, design zake ni nzuri na ana finishing nzuri za mavazi yake. We love her for that.
Kiki ni moja kati ya wabunifu wanao tumia vitambaa vya kawaida lakini ana vifanya vionekane unique kwa mishono yake.
Kiki ali debut collection hii ikiwa na ina mbalimbali za mavazi, kulikuwa na magauni, skirts, suruali etc lakini pia aina mbalimbali za fabric, floral na plain
Tulipenda hii floral dress ambayo kama unapenda kuwa unique unaweza kuivaa kwenye reception yako, mshono upo simple lakini finishing yake ni nzuri sana.
How cute are these two pieces?
Tulipenda pia hii two set ya kitenge top na Max skirt, as we all know maxi skirt ni moja ya essentials za kuwa nazo lakini pia kitenge ni asili yetu.
Tulipenda pia hii burgundy short dress ambayo inaweza kuvaliwa kwa bride maids lakini pia hata wedding guest.
Hii Mixture ya kitenge na satin pia ilikuwa favorite yetu unaweza kuvaa hili vazi katika hasuri kama mgeni mualikwa na kitchen party
Wedding Dress tungependa zaidi kuliona vizuri kama model asingelishikilia but kwa kuliona hivi tu tumelipenda something simple and cute.
Alikuwa na hizi neutral color satin pieces ambazo nazo tulizpenda sana
Kiki Collections are always wearable, zinavaliwa na watu wowote lakini pia zipo very neat na well coordinated.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 46514 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kiki-zimba-swahili-fashion-week-collection-2015/ […]