Vilemba vimevaliwa enzi na enzi na mababu zetu, lakini kidogo kilipunguzwa makali upande wa wanaume na wanawake wakawa wanaonekana kukivaa sana kwa Nchi za Arabuni ni rahisi kumkuta mwanaume amevaa kiremba kuliko huku kwetu lakini guess what? imeonekana style hii inarudi kwa kasi na kuonekana ikivaliwa na watu maarufu mbalimbali wakiume pamoja na wanamitindo.
Moja kati ya watu maarufu waliovutiwa na urembo huu ni mwanamuziki wa kiume kutoka Nigeria Patoranking ameonekana akiwa anavaa vilemba vya style tofauti tofauti kwa nyakati na sehemu tofauti, well we must say his style turban is always on point.
Ni kitu ambacho kinampa mwanaume utofauti tulisha zoea eghal, baghashia au kofia hii ya kilemba ilisha sahaulika na ukionekana kukivaa kama kilemba lazima watu wapate mshtuko kidogo
white turban with orange number
White and black cause you never go wrong with the colors
Black and yellow just like Wizz Khalifa’s songĀ
Wengine ambao wameonekana kuvutiwa style hii ni
Uche Uba kutoka Nigeria nae ameonekana kwenye hii style yeye alivalia cha kitenge
na Fayo Aina nae hakutaka kupitwa
Tuambie Je wewe kwako ni sawa au hapana ikupite tu?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 11493 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kilemba-urembo-mpya-kwa-wanaume/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kilemba-urembo-mpya-kwa-wanaume/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kilemba-urembo-mpya-kwa-wanaume/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 1070 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kilemba-urembo-mpya-kwa-wanaume/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kilemba-urembo-mpya-kwa-wanaume/ […]