Kim Kardashian West aliuaga mwaka 2016 vibaya kwa kuibiwa baadhi ya vito vyake vya thamani, Kim Kardashian akaamua kupumzika katika kila kitu ikiwemo na mitandao ya kijamii. Ila ame rudi now na style zake ndizo zinazo tutia mashaka je walimuibia na kabati lake la nguo? amekua akivaa nguo ambazo hatuja zoea kumuona nazo ni kama ame rudi nyuma hivi kiasi fulani
amekuwa akionekana mno kwenye masweta na masuruali makubwa makubwa, we miss the old Kim Kardashian. Hatumaanishi The nudist Kim hapana ila The Stylish Kim
Tuna miss vile ana pendezaga hata akiwa mitaani, picha ya juu alikuwa anaenda/kutoka dinner date na Kanye trust us kama ingekuwa ni zamani lazima ange slay akatupa cha kuongelea midomoni
distressed Jeans na makoti ndio yamekuwa mavazi yake siku hizi well Kim Be Back Soon, Hakuna uchungu kama wa kuzaa ila ulikuwa ukirudi fasta kwenye ku slay kwako plus Flat Tummy usitufanye tuamini una penda gold zako zaidi. Pia hatumaanishi kwamba hatuja umia alivyo ibiwa La Hasha ila ni miezi sasa toka October 10 jamani… kitu kimesha enda kimeenda tugange yajayo anyways Yeezy will buy another one’s
Kim K na Kanye West
Wasiliana nasi Kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kim-k-mmh-styles-toka-tukio-la-kuibiwa-paris/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kim-k-mmh-styles-toka-tukio-la-kuibiwa-paris/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kim-k-mmh-styles-toka-tukio-la-kuibiwa-paris/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 15410 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kim-k-mmh-styles-toka-tukio-la-kuibiwa-paris/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kim-k-mmh-styles-toka-tukio-la-kuibiwa-paris/ […]