Tunapenda tunapoona watu maarufu wamevaa vazi la aina moja, na hii si kwa sababu ya kuona nani amevaa vizuri zaidi ya mwingine lah hasha bali ni kuona namna ambavyo unaweza ku-style hio outfit kwa namna tofauti tofauti, lakini pia size variety, na leo tunamuona mwanamuziki Linah Sanga na mwanadada Kim Kardashian wakiwa wamevaa hii outfit moja kwa namna tofauti
Kim Kardashian ali attend beauty con LA, akiwa amevalia hii super low-cut, off-the-shoulder Dolce & Gabbana black outfit, huku kichwani akiwa ameweka sleek pony tail hair style, nude makeup, lace up nude heels amemalizia na small handbag, with that body she looked stunning per usual.
Wakati mwanamuziki Linah Sanga yeye alivaa same outfit na clear ankle boots, nude makeup na kumalizia na rasta za rangi rangi.
Tumeona kwamba Kim na Linah wana aina za miili tofauti lakini wote wamevaa hii outfit moja, watu wengi huwa wanaogopa kujaribu kuvaa mavazi wakisema hilo body mimi sina i cant pull that off, jifunzeni hapa.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…