Well unajua kitu kina penda ukiona watu maarufu wapenda fashion wakiwa wana kivaa sana na imeonekana hizi metallic boots zina pendwa zaidi kwa sasa as tunaona watu wengi wakiwa wame vivaa kwa namna tofauti tofauti mara ya kwanza tulimuona navyo trend setter Kim Kardashian akiwa amevivaa
truth be told we dint like them, kama ni jinsi alivyo vi style au hatukuona uzuri wake lakini tukaanza kuona baadhi ya watu pia waki vivaa alifuata Chantel Jeffries instagram model ambaye ana hisiwa kutoka ki mapenzi na mwanamuziki Justin bieber
lakini pia kabla hatuja pumzika model mwingine tena Anu Gold alionekana kuvivaa hii kidogo ilituvutia as you know denim can make anything looks calm & good
pale tulipo thought sasa trend imeisha waka tu prove wrong baada ya dada Nicki Minaj kuwa spotted amevivaa huko Paris
Na jana akaja kumalizia kubwa la maadui Rihanna nae alikuwa spotted amevivaa paris
Tuambie kuhusu maoni yako juu ya trend hii nay au yay? kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 54573 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kinacho-pendwa-kwa-sasa-silver-metallic-boots/ […]