Jumamosi kulikuwa na event ya Kisarawe Charity Gala, ambapo hii event ilikuwa inahusuiana na harambee ya kuchangisha ujenzi wa shule kwa ajili ya Watoto wa Kike. Ilifanyika ukumbi wa mlimani city na watu maarufu wengi walihudhuria, leo tutaongelea vazi alilolivaa muhusika ambae ni Jokate Mwegelo katika harambee hii,
Tulipata muda wa kuuliza mate zetu katika ukurasa wetu wa instagram ambao kulikuwa na mkanganyiko ya waliopenda na wasiopenda vazi lake, sisi tunatoa two cents zetu kwenye muonekano wa Jokate Mwegelo
Jokate alivaa black black dress yenye embroidery flowers za gold yenye sheer long sleeves, gauni hii haikuwa ndefu kufika chini na wala sio fupi sana, it was a ballerina length ball dress kutoka kwa mbunifu Mac Couture, sisi tumependa this look as shughuli ilikuwa ya kwake alikuwa na movement za hapa na pale, the length of this dress was perfect katika kwa Jokate siku hii.
Lakini pia tumependa kwamba huu mtindo umefanywa kwa tofauti, tumeshaona magauni ya design hii marefu mengi, seeing imepewa utofauti we are here for it, amemalizia muonekano wake na black pumps, huku upande wa make up akiwa amepakwa glitter eye shadow, perfect bows na nude lipsctik
Lets say kwamba huu muonekano wake tunaupa 7.5 she did great, the only thing ambayo tunaweza kusema sisi tungejaribu kufanya ni ku-add more life kwenye outfit yake.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kivazi-cha-jokate-mwegelo-katika-kisarawe-charity-gala-awards-night/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 23297 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kivazi-cha-jokate-mwegelo-katika-kisarawe-charity-gala-awards-night/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kivazi-cha-jokate-mwegelo-katika-kisarawe-charity-gala-awards-night/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kivazi-cha-jokate-mwegelo-katika-kisarawe-charity-gala-awards-night/ […]