Kampuni ya Mavazi ya Abaya Addict. Ni moja kati ya kampuni za mitindo ya kiislamu zinazokuwa kwa kasi kubwa. Kampuni hiyo ambayo makazi yake ni Dubai katika Falme za Kiarabu. Ubunifu huu wa Abaya Addict unatarajia kujaza nafsi zote zilizowazi zinazoachwa na wanamitindo mbalimbali ambao wengi wao ukimbilia kubuni mavazi mengineyo na kukwepa mavazi kama Abaya wakiamini yanavaliwa na watu wachache hivyo wanahofia ukosefu wa masoko.
Lakini imekuwa tofauti kwa Abaya Addict, ambao wanatengeneza mavazi ya aina hii, tayari tumeanza kuona hata hapa nyumbani Tanzania wapo wabunifu wetu wadogo wadogo ambao wanaendelea kuongeza juhudi katika soko hili la Abaya kama vile Faryz Abbaya na Wengine wengi. Lakini Pia unaweza kutembelea tovuti yao www.abayaaddict.com ili ujionee kwa macho yako namna ambavyo ubunifu huu wa aina yake unavyokuwa kwa kasi isio ya kawaida. Kwa kutembelea tovuti yao unaweza kupata fursa ya kununua bidhaa zao moja kwa moja kupitia mtandao.
Picha kuonesha Baadhi ya Ubunifu uliofanywa na Abaya Addict.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kukua-kwa-mitindo-ya-kiislamu/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 55083 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kukua-kwa-mitindo-ya-kiislamu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kukua-kwa-mitindo-ya-kiislamu/ […]