Ukiachana na kwamba Kizz Daniel amezingua kutokupanda kwenye show ambayo alilipwa na Wananchi walishatoa viingilio, lakini pia ametuonyesha ni namna gani watu maarufu kutoka Nigeria wapo makini na mionekano yao.
Kizz ambae alitakiwa kutumbuiza Jumapili iliyopita alionekana kushindwa kutokea eneo husika kutokana na kwamba bag lililokuwa na mavazi yake kusahaulika Nchini Kenya.
Kwa maelezo ya team yake wanasema kwamba aliwapigia simu baadhi ya wabunifu wa mavazi kutoka Tanzania ambapo alipofanikiwa kupata vazi ilikuwa too late.

Well major key alert aliwasiliana na wabunifu kutoka Tanzania hakutaka kwenda kununua mavazi madukani alitaka kitu unique kutoka kwa wabunifu wetu.
Aliweza kuvaa chochote jeans na t-shirt etc lakini aliamua kutafuta wabunifu, tunadhani its about time watu maarufu wajifunze lakini pia wabunifu nao wawe na mavazi tofauti maana mtu kama Kizz Daniel hatuwezi kumvalisha vazi ambalo tume copy kutoka kwao Nigeria (gubu la afro) anyways show itarudiwa Ijumaa hii na tutakuwepo kuona atakacho vaa Mr. buga. Well stylist na wabunifu tunadhani ana siku kadhaa mnaweza kuomba collabo mkafanya jambo (mawazo ya Afro).
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…