Zaidi ya watu mia mashughuri walifika katika kusherehekea miaka 100 ya nywele za Kiafrika, shughuli hiyo ilifanyika jana.
Ulikuwa ni uzinduzi wa kipekee.
Na yote ni kuhusu uwezeshaji wa mwanamke wa Kiafrika.
Mandhari ya shughuli hii ilikuwa ni “Kila ndoto ni halali”
Darling Group, kama kiongozi wa soko la nywele na biashara za huduma ya nywele Afrika , walitambulisha bidhaa zao mbalimbali za Aliyana professional kwa watengeneza nywele wote nchini Tanzania. Tukio hilo pia lilipambwa na wanamitindo mahili wa Tanzania
Wakati maonesho ya mavazi yakiendelea, wageni walitambuliswa mfululizo za bidhaa za nywele za Aliyana Professional Shine na Aliyana Professional enrich zenye ubora wa hali ya juu katika kuimarisha nywele.
Wanamtindo walipewa nafasi ya kuingiliana na watengeneza nywele hodari ambao Tanzania inaweza kujivunia nao.
Tukio hilo lilibarikiwa na uwepo wa mwakilishi wa Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mhe. Nape Nnauye. Ambaye ni Mkurungenzi Idara Ya Sanaa na Utamaduni, Leah Kihimbi.
Mwakilishi mwandamizi wa kampuni hiyo hapa Tanzania, alizungumza kuhusu kundi hilo changa la Godrej Group lenye miaka 119 likiwa na uongezeko la uwepo wake barani Afrika, Amerika ya Kusini, na Asia.
Kundi hilo la Godrej Group ni wamiliki wa Darling Group katika nchi 14 za Afrika, ambapo Darling ni kiongozi wa soko la nywele na huduma za nywele.
Msemaji wa kampuni hiyo aliwakaribisha wageni waalikwa kuwa sehemu ya safari hii ya kusisimua nchini Tanzania, sababu bidhaa mbalimbali za Aliyana Professional ni kutoka katika uimara huo.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kusherehekea-miaka-100-ya-nywele-za-kiafrika/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kusherehekea-miaka-100-ya-nywele-za-kiafrika/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kusherehekea-miaka-100-ya-nywele-za-kiafrika/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kusherehekea-miaka-100-ya-nywele-za-kiafrika/ […]