Ni kazi ngumu kidogo kuwa na kazi pia kulea mtoto, na leo tupo na mwanamitindo Evelyn Kisaka ambae kwa sasa amekuwa mama lakini pia ana soma chuo. Evelyn ana tueleza ni jinsi gani ana weza ku-manage kufanya vyote hivi na je ana plan gani na uanamitindo je atarudi tena kazini au ana taka kuwa mama kwanza? soma mahojiano yetu na Evelyn hapo chini,
Afroswagga-hongera kwa kupata mtoto ni wa kiume au wa kike?
afroswagga – hongera sana mara ya mwisho kukuona kwenye jukwaa ilikua peroni fashion night mwaka juzi kama hatukosei je kama model na kwa sasa mama una plan ya kurudi kwenye game au lah?
Afroswagga – Kama ndio ume jiandaaje? in terms ya kumuacha mtoto usiku? kurudisha mwili ulivyo kuwa nakadhalika?
Afroswagga – Kama ina wezekana tupe tips za nini una kula au kufanya siku nzima kurudisha mwili wako uwe ulivyo kuwa zamani as tunajua ukiwa mjamzito au mama mwili huwa unaongezeka.
Afroswagga –Je unahisi wabunifu watakukubalia kurudi katika uanamitindo wakati umesha kuwa mama? au kunaugumu wowote utapitia? kama ndio kwanini?
Afroswagga – una waambiaje mashabiki na ma model wenzio ambao watataka kujua nini kinakuja kutoka kwako?
Evelyn –believe in this industry… and I believe in myself..I’m hungrier than I was before..there’s still so much to explore with our Country kwa Tasnia hii..I look forward to being one of those that will have the honor of making our country proud.
Asante kwa ushirikiano wako na tuna kutakia kila la kheri Evelyn
Nashukuru kwa nafasi hii pia it was an honour.. God Bless You
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kutana-na-model-evelyn-kisaka-akiongelea-kuhusu-kazi-na-ulezi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kutana-na-model-evelyn-kisaka-akiongelea-kuhusu-kazi-na-ulezi/ […]