Anaitwa Jacqueline Ntuyabaliwe alianza kujulikana mwaka 2000 baada ya kutwaa taji lake la Miss Tanzania mwaka huo. Baada ya kulivua Taji hilo tulimsikia tena Jacquieline lakini wakati huu alisikika kama K-Lyinn na hakua miss tena bali mwanamuziki hio ilikua mwaka 2003, kwa inavyo semekana Klyinn alianza shughuli zake za muziki mwaka 1997 akiwa katika band ya Tanzanite kutoka Tanzania, baada ya kurudi mwaka 2003 alidumu kidogo katika Muziki ambapo alitoa album mwaka 2004 ilioo itwa “Nalia kwa furaha” akimshikisha Bushoke mwanamziki kutoka Tanzania pia alifanya album nyingine mwaka 2007 ambapo Iliitwa “Crazy Over you” aliyo mshirikisha Squezer na 2013 alifanya kazi na Mr blue wimbo uliitwa “nishike mkono”.
Jacqueline amezaliwa mwaka 1978 akiwa mtoto wa mwisho katika familia yao, kwa sasa K-lyinn ana miaka 38, baada ya kukaa miaka kumi katika muziki aliamua kubadilika na kuwa Mbunifu wa mambo ya ndani ambapo alisomea katika chuo kinacho itwa Rhodec kilichopo Uk. Mwaka 2012 alianzisha kampuni yake binafsi ya ubunifu iitwayo Amor.
Kwa sasa Jacqueline ame olewa na ana watoto wawili mapacha wa kiume, ameolewa na Mwekezaji mkubwa nchini Tanzania Bwana Reginald Mengi.
Ukiachana na hayo yote Jacqueline ni mpenda mitindo na hajawahi kutoka nje ya mitindo toka alipoanza safari yake mpaka sasa.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kutoka-jacquelinek-lyinn-mpaka-j-n-mengi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kutoka-jacquelinek-lyinn-mpaka-j-n-mengi/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 55207 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kutoka-jacquelinek-lyinn-mpaka-j-n-mengi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kutoka-jacquelinek-lyinn-mpaka-j-n-mengi/ […]