Watu wengi huwa hatujui black outfit ni nini ni combination ya outfit yako kutoka juu mpk chini Kwa mfano unaweza vaa little dress , jeans na T-shirt ila zote ziwe black. Black outfit ni moja ya mavazi ambayo yako tofauti na leo kunaletea sababu baadhi kwa nini black outfit??
Black outfit is elegant
Moja ya kitu ambacho watu wengi wamechelewa kujua kuwa mavazi meusi ni maridadi na yanapresent beauty katika mitindo, power , intelligence, prestige , glamour na luxury. Mara nyingi watu hawajui ila black outfit inakupa feeling ya kuwa maridadi na unaweza kuvaaa kokote.

Inasaidia kucover body imperfections
Black outfit ni moja ya rangi ambayo inafanya macho yawe majinga Kwa sababu inachukua attentions Kwa kiasi chake na Inasaidia kucover body imperfections Kwa sababu inafanya mwili wa mtu awe slimmer

Urahisi katika upatikanaji wake
black outfit ni mavazi ambayo upatikanaji wake ni rahisi sana Kwa sababu ata madesignr wengi wanaitumia nguo za rangi ya black kama sample pia urahisi Wakr unakuja katika Suala la Size zote zipo.

Unaweza kuvaaa sehemu yoyote
Black outfit ni moja ya mavazi ambayo unaweza kuvaaa kokote Kwa occasion yoyote. Black outfit unaweza kuvaaa kazini , kwenye date , na hata kwenye sherehe Kwa sababu ipo comfortable sana na inachukua attention.

NOTE: Watu wengi wanavaaa black outfit endapo wanakisi hawana chakuvaa ila wanakisea sana vaa black outfit endapo unataka kuonekana maridadi na unapotaka kuwa na lit attention. πππ ila usivae full black Kila kitu add ata accessories za rangi nyingne ili usiboe.
imeandikwa na @gotchathegreatest
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwa-nini-uvae-black-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwa-nini-uvae-black-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 70397 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwa-nini-uvae-black-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwa-nini-uvae-black-outfit/ […]