Toka zamani mwanamke amekua akitumia mkoba kama tamko katika mitindo, kutoka zamani mpaka sasa mkoba umekua kama alama katika mitindo, jinsi ambavyo miaka inaenda na mambo yanabadilika, mitindo inabadilika, ubora unabadilika na hata jinsi ya kubeba mkoba inabadilika
Inasemekana kuna jinsi ya kubeba mkoba inaweza kuelezea wewe ni mwanamke wa aina gani, au rangi ya mkoba unaweza kuelezea jinsi ambavyo unajisikia siku hiyo. Pia unaweza kuvaa rangi za nguo ambazo si kali lakini ukavaa mkoba ambao una rangi kali ikanogesha muonekano wa vazi lako katika siku hiyo.
Katika kipindi hiki wanawake wana beba sana mikoba mikubwa au mikoba ambayo ina mkanda mrefu na rangi kali Zaidi, Mkoba unaweza kubadilisha muonekano mzima wa vazi lako na kukupa muonekano tofauti.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwanini-mkoba/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwanini-mkoba/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 5469 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/kwanini-mkoba/ […]