Love season is in the air, tarehe 14 February ni siku ya wapendano ambapo huwa inaidhimishwa kila mwaka, na kwasababu hii wengi huchagua kuvaa rangi nyekundu kwakuwa inaaminika ni rangi ya upendo. Well watu maarufu mbalimbali wameonekana kufanya photoshoot kwa ajili ya siku hii na kuwatakia wafuasi wao siku njema ya valentine, lets see nani alitokaje.
Jojo Gray wearing Shuu Design hii look ni perfect kwaajili ya date night, Happiness Magese yeye alikuwa ni Versace rob akamalizia muonekano wake na pearl jewelries tumependa how relaxing yet sexy this look is. Kutoka South Africa Lerato Kgamanyane yeye alivalia short bow red dress pamoja na red bowed shoes ( she chose to be a gift herself)



Kutoka Tanzania tumemouna Feza Kessy, Judy Fashion na tunaekutoka Uganda Spice Diana



Tunajua kuna wale extra extra hawanaga dogo, well tunao Anitha Fabiola kutoka Uganda, Doris kutoka Tanzania na Lily Afe kutoka Nigeria.



Tuambie favorite look yako ni ipi?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ladies-in-red-for-valentines/ […]