Hakuna kitu interesting katika ulimwengu wa mitindo kama kuona week ina event’s mbalimbali iwe ambazo zinajulikana au zisizo julikana, week iliyopita kulikuwa na event mbalimbali na watu maarufu walionekana kuhudhuria event hizo, tupo hapa ku-review looks walizozivaa katika event hizo,
Imekuwa muda mrefu toka tumuone Shilole akiwa ame dress up, ame tu-surprise na hii wedding guest look, ambayo ni purple corset dress kutoka kwa mbunifu designed by Shuu amemalizia look yake na makeup kutoka kwa makeup by eddie, headgear na hand fan.

Hamisa keep’s her ten toes down linapokuja swala la fashion, ana serve looks asubuhi, mchana na jioni & she stays unproblematic, week hii tumemuona na hii yellow & nude corset number kutoka kwa brand yake ya Mobetto style, as usual makeup na hair vilikuwa on point.

Kama kuna mtu maarufu ambae anafaa kupewa maua yake kwenye upande wa mavazi basi ni Gigy Money tunaweza kusema amejipata week iliyopota tumemuona in little turquoise number kutoka kwa mbunifu Michael Williams, Hair @jonijohairtz x @allenndaray1, Dress👗 @michaelwilliams.x, Studio @chizimapicha, Pic @chizimapicha

Tulimuona pia video vixen Nai akiwa amefanya photoshoot amevalia sheer dress kutoka kwa👗 @allie_clothings, Pic @chizimapicha, Makeup @alphiebeautie, Hair @jonijohairtz
Nails @mtoto_iddy_nails

Kim Nana in a white dress, Kim anaonekana kuja kwa kasi kwenye mavazi, ukiingia kwenye page yake unakutana na looks za kupendeza, week hii alivaa hii gauni nyeupe, ambayo ilikuwa na single strap kilicho nogesha zaidi hii look yake ni makeup na hair style zilikuwa on point

tuambie nani amekuvutia zaidi na muonekano wake kati ya hawa watu maarufu watano?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…