Tunapenda tukikutana na fashionista’s wamevaa sare, kwa sababu hapo ndipo tunajifunza namna mbalimbali za ku-style vazi hilo. As we all know fashionista’s wengi wanapenda kuwa unique kila mtu ana taste yake katika mavazi na vile ambavyo ana liangalia vazi hilo.
Leo tupo na Stylist kutoka Tanzania Lavidoz na mweningine kutoka South Africa, Lerato Kgamanyane, Fashionista’s hawa wawili wameonekana kuvutiwa na vazi hili moja la striped shirt dress ambayo nje ina kama a tuxedo dress iliyo katwa. Wabunifu kazini ni kama 2 in 1 outfit
Lerato Kgamanyane yeye alivaa dress hii na white open heels ame accessories na glasses na bamboo bag (mwenyewe ame sema ni wok flow) so its more likely a business au corporate look
Wakati our own Lavidoz yeye amevaa same dress na red pumps huku akiwa amemalizia muonekano wake na miwani na red bag
tuambie nani kakuvutia na style yake kati ya hawa fashionista’s wawili
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lavidoz-vs-lerato-kgamanyane/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/lavidoz-vs-lerato-kgamanyane/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/lavidoz-vs-lerato-kgamanyane/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 68800 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/lavidoz-vs-lerato-kgamanyane/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lavidoz-vs-lerato-kgamanyane/ […]