Zile siku za kwenda kununua mavazi ya harusi na ni lazima linunuliwe gauni zimekwisha, kwa sasa maharusi wengi wanavunja mipaka na kuamua kuvaa jumpsuit au pant suit katika harusi zao, well ni rahisi kwa ma-bibi harusi ku-switch codes kuliko kwa upande wa kiume kuvaa matching dress na wanawake zao.
Couple hii kutoka Korea ime trend sana katika mitandao ya kijamii kwa chaguo lao la mavazi wote wawili walichagua kuvaa matching off white suit, ambapo bwana harusi alivaa suit hii na white kicks huku bibi harusi alivaa suit yake na white pumps na short vail
Kwa hapa kwetu Tanzania tumekutana na hawa bride maids ambao wao pia waliamua kuvaa suit kama wasimamizi wa harusi ambapo suit hizi zilitoka kwa mbunifu Martin Kadinda
tuambie wewe unaionaje hii trend kwako ni sawa au si sawa?
Would you let your wife wear suit on your wedding day?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 53965 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/let-the-bride-wear-the-pants/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/let-the-bride-wear-the-pants/ […]