Leo tunafix hii outfit kutoka kwa mwanamuziki Linah Sanga, kutoka katika Instagram yake Linah Sanga amepost hii picha akiwa amevalia nice polka dot dress akiwa amemalizia na ombre wig, miwanai, sandals pamoja na accessories ndogo ndogo.

Kwa muonekano wa mavazi na picha, Linah alitaka kuwa casual kwamba haendi popote its just a pic for the gram. Well as msanii hata kama ukiwa casual muonekano wako ni vyema ukaonekana vizuri. Kwa Linah tunaona gauni ni zuri lakini kuna vitu vingi vinaendelea ambavyo vimedidimiza uzuri wa gauni as we said accessories zinaweza ku-upgrade au ku-downgrade muonekano wako.
Let’s fix the look
- Ondoa Miwani
- Ondoa sandals
- Ondoa Wig
- Toa Mkanda
- Toa Bracelet Ya Orange
Nini Tungemvalisha
- As yupo casual tungetoa sandals alizovaa na kumpa mules nyeupe au raba nyeupe hii ni kufanya outfit iwe na color coordination.
White Sneakers White Mules
- Kwa upande wa kichwani tungempa a simple hair style au angevaa fedora hat

- Tungetoa kabisa vilivyobakia na kumpa a cute little bag.

A stylish way to kill a casual but not so casual picture for the gram.
well afromates tuambie kama wewe ungetakiwa kumvalisha Linah ilo gauni ungemuongezea nini na kumpugunzia nini?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-fix-linah-sangas-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-fix-linah-sangas-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-fix-linah-sangas-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-fix-linah-sangas-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 759 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-fix-linah-sangas-outfit/ […]