Wanasema style is a way of saying who you are without having to speak, if that is so we are wondering what Rayvanny is trying to tell us. Kama bado hujaelewa nini tunaongelea ni kwamba kwa sasa msanii kutoka katika kundi la WCB, Rayvanny ana style mpya ya mavazi pamoja na hair style ambavyo kwetu sisi tunaona kama maji na mafuta (haviingiliani).
Rayvanny amebadilisha nywele zake na kuziweka rangi ya platinum blonde toka siku ya kwanza ameweka hii style sisi kama afroswagga tulisema ile haikuwa style yake na alipata backlash kubwa sana katika mitandao ya kijamii but we all know WCB ni sikio la kufa linapokuja katika swala zima la wao kubadilika na mionekano yao,Rayvanny bado ameweka nywele zake rangi hio na basi sasa kwa sasa ana signature look ambayo anavaa outfit ambazo ana match na open cap which we can’t find another word to say it than trash.
The matching outfit and hat inaonyesha uvivu wa kujaribu something new, kwanini uvae kama duka la ready made kwamba sababu umezinunua zikiwa hivyo basi zivaliwe hivyo, hizi kofia zinatupa feeling ya kwamba ana jaribu kuficha mistakes zake alizofanya kwenye nywele which he can just change them for a more clean look na kuachana na kitu ambacho kina ku-force uvae kitu fulani hata kama hutaki kukivaa.
Nywele ni kama kiatu au makeup they can drag your outfit to hell au kukupa muonekano mzuri,na hapa kwa Rayvanny we can clearly see hizi nywele zinampeleka peleka na anapotea kwa kutokujua azifanye nini, anaweza kuvaa a good outfit lakini hizi nywele zika drag the out fit to the left to the left, tunadhani its about time akubaliane na blonde haiko kwenye favor yake na abadilishe, and also this machinga looks are not it chief.
Afromates tuambieni nyinyi mnaouongeleaje muonekano huu mpya wa Rayvanny?
Instagram – @afroswagga
Facebook – @AfroSwagga
Twitter – @afroswaggatzÂ
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-talk-about-rayvannys-new-look/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-talk-about-rayvannys-new-look/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lets-talk-about-rayvannys-new-look/ […]