katika tasnia ya filamu kwasasa huwezi kuiongelea bila ya kutaja jina la Lamatah anafanya kazi nzuri katika ku-produce pamoja na ku-direct film, akiwa ana series kadhaa wa kadhaa kwenye vituo mbalimbali vya television Lamatah pia ameshinda Tuzo katika Tasnia hio.
Week iliyopita Lamataha alifanya gender reveal akiwaarika watu maarufu mbalimbali katika tasnia ya filamu, theme ya tukio hilo ilikuwa nyeupe na tunakuleta looks hizo tukianza na muhusika
Lamatah mwenyewe alikuwa na looks mbili ambapo ya kwanza ilikuwa peach tulle dress na ya pili ilikuwa nude dress yenye shimmery tassel, alipendeza kwenye looks zote mbili, makeup ilikuwa on point, nywele zilitengenezwa vyema na tumependa alichaguwa kuwa comfortable kwa kuvaa flat shoes.

lakini pia wageni waalikwa walikuwa kwenye theme kama ambavyo tumesema theme ilikuwa white na wengi wao walivalia nyeupe, tulipenda kwamba walimuachia muhusika a-shine wengi wao walikuwa simple yet stylish
Zamaradi Mketema, Lulu Diva & Mimi Mars

Jacqueline Wolper, Kajala & Jennifer Nkya

Godliver, Zay & Lissah Actress

Mwanaheri Dora & Love

tuambie look ya nani imekuvutia kati ya hizi zote?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…