The girls been serving looks, from casual to occasional wear, week iliyopita tumewaona watu maarufu mbalimbali wakiwa kwenye mionekano mbalimbali kutokana na sehemu walizokuwa wanaenda, as usual wengi wao walikuwa wamependeza kuanzia nywele, makeup, accessories, mavazi mpaka viatu wazungu husema head to toe.
Baadhi ya ambao tuliona looks zao na wakatuvutia ni Julitha Kabete ambae alikuwa amevalia pink dress, bronde hair amemaliza muonekano wake na fringe bag, simple sandals na miwani, mwingine ambae tumemuona ni Jacqueline Ntuyabaliwe in a white and pink look, Jacq alikuwa in a more of bossup look, Miss Tanzania 2022/2023 Halima Kopwe sitting pretty akiwa amevalia floral dress na black open heels, makeup & hair well done.

Wengine ambao tumewaona hawa wao walikua na mavazi ya mitoko zaidi nao ni Angie akiwa in a pink sequin dress, pixie cut hair style, amemaliza muonekano wake na embellished heels, Flaviana Matata looked angelic akiwa amevalia cutout mermaid green dress akiwa na low cut yake na simple makeup, ambae anatufungia leo ni Elizabeth Michael akiwa amevalia white & nude corset pearl dress ambayo inaurembo kifuani amemalizia muonekano wake na Bun with Side-Swept Tendrils hair style na heels alizo match na vazi lake.

Tuambie muonekano wa nani umekuvutia zaidi kati ya hawa sita?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…