Pantone/Purple ( Ultra Violet 18-3838) ilitajwa kuwa rangi ya mwaka 2018,ambapo watu wengi tuliona kama ni rangi ngumu kuivaa hasa kama kwenye special events, well watu maarufu mbalimbali wameonekana kuanza kuvaa rangi hii katika red carpet na kuna ambao wame tu impress na ambao hawaja tuvutia katika macho yetu,
Tuanze na walio tuvutia
Muigizaji Lupita Nyong’o akiwa katika purple carpet ya premiere ya movie yao mpya ya black panther, Lupita amevaa gauni ya purple yenye stones mbalimbali kutoka kwa mbunifu Versace, her skin color ime compliment the dress color she just look “flawless” and that hair do is wow.
Mwanamuziki Latoya Lockett akiwa amevali purple dress kutoka kwa NFBYNOUR, hii ilikuwa katika red carpet ya NAACP Image awards 2018, Latoya alimalizia muonekano wake with baby blue earrings na purple lipstick.
Hailee Steinfeld alionekana katika red carpet ya Grammy’s 2018 akiwa amevalia a beautiful white dress na purple boots, we love that ameamua kuleta style yake kwenye red carpet mixing this elegant dress with sassy shoes.
Mfanya biashara, muigizaji na mchekeshaji Jennie McAlpine alionekana katika red carpet ya National Television Awards 2018, ambapoa alivaa off shoulder purple dress na gray shoes (which we don’t like)
Wengine walio onekana na purple kwenye red carpet ambao hawaja tuimpress ni
Makeup artist Patrick Star went too much with the color
Mwanamuziki Dram akiwa katika red carpet ya Grammy’s 2018, amevali gucci suit ya purple, the suit is nice kilicho haribu ni style yake ya nywele if only zingebanwa vizuri his shoe game is on point.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lupita-nyongo-hailee-steinfeld-rocking-color-of-the-year-2018-katika-red-carpet/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 90621 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lupita-nyongo-hailee-steinfeld-rocking-color-of-the-year-2018-katika-red-carpet/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/lupita-nyongo-hailee-steinfeld-rocking-color-of-the-year-2018-katika-red-carpet/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/lupita-nyongo-hailee-steinfeld-rocking-color-of-the-year-2018-katika-red-carpet/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/lupita-nyongo-hailee-steinfeld-rocking-color-of-the-year-2018-katika-red-carpet/ […]