Wanasema true love never dies enhe? baada ya miaka kadhaa, ndoa kadhaa na mahusiano kadhaa ku-fail Ben Affleck na Jlo wamerudiana na kufunga ndoa. Jlo na Ben Affleck walifunga ndoa hii katika nyumba ya Ben Affleck iliyopo Georgia.
Jlo alivalia magauni matatu ambayo yote yalitoka kwa mbunifu Ralph Lauren. Gauni la kwanza ambalo alifunga nalo ndoa lilikuwa ni turtle neck column dress ambayo inasemekana zilikatwa 1,000 handkerchiefs na 500 meter za kitambaa na kuwa attached kwa mikono kutengeneza hio voluminous, romantic skirt lakini pia alimalizia muonekano wake na cathedral-length veil huku kwa upande wa accessories inasemakana alivaa jewelry zenye thamani ya karibia $100,000 kutoka kwa mbunifu Mikimoto, huku akimalizia na white pearl & diamond earrings with a matching floral ring.


Kwenye reception Jlo alivaa chandelier-inspired gown ambayo ilikuwa na maelfu ya cascanding strings of pearls, hii gauni ilitengenezwa na wasanii 30 na kutumia masaa 700 kulikamilisha. Kwa gauni ya mwisho Jlo alivalia sleek mermaid-style gown with a Swarovski crystal-embellished keyhole and full skirt topped with a hood-like organza overlay.


Tuambie gauni lipi la Jlo limekuvutia zaidi kati ya haya matatu?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/magauni-3-aliyovaa-jennifer-lopez-katika-harusi-yake-na-ben-affleck/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/magauni-3-aliyovaa-jennifer-lopez-katika-harusi-yake-na-ben-affleck/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/magauni-3-aliyovaa-jennifer-lopez-katika-harusi-yake-na-ben-affleck/ […]