Inaweza kuwa unajua kama una fanya makosa na unaweza kuwa haujui kama una fanya makosa na ki-fashion, well kuna common mistakes ambazo wengi huwa tuna commit bila kujua au kudhani kwamba ni sawa, well its not. Leo tunakuletea Episode ya kwanza ya Fashion Mistakes & How To Fix Them.
- Kununua Nguo Ndogo Kuliko Mwili Wako
Kuna ambao wanaamini kuvaa nguo size ndogo zina kufanya uonekane mdogo au kuwa na mwili mdogo, Nope your not.. actually unaonekana kama unajaribu kufit in a elephant katika ndoo, na mwili unazidi kuonekana mkubwa.
FIX IT – Nunua mavazi yanayo kutosha hii inaweza kusaidia kufanya mwili wako uoenekane mdogo na well fitted katika mavazi, lakini pia kumbuka size zinatofautiana ambacho unatakiwa kukijua ni jinsi gani unajisikia katika vazi ilo, is it your style? Inakutosha? Inaonyesha the best feature of you? Then go for it.
- Over Accessorizing
Okay japo kuna msemo una sema how much is too much lakini kuna kipindi vitu vinakuwa too much, kwanini uvae kila kitu kwa wakati mmoja na kutu destruct kuona other beautiful features of you?
FIX IT – Kama unavaa plain cloth add statement accessories na kama una vaa complicated cloth jaribu kuwa minimum na accessories zako, you dont want to look like a cloth and accessory shop, relax there’s always tomorrow.
- Kununua Mavazi Ambayo Hayaendani Na Aina Ya Mwili Wako
Hapa ndipo wengi tunapo Fail huwezi kuwa na body ya shilole ukataka kuvaa nguo za Vanessa Mdee au mwili wa Diamond avae mavazi ya Sallam Sk we all have different body types na pia mavazi yetu hayaingiliani, yes its cute but its not for you skip it & move on.
FIX IT- Jua aina ya umbo/mwili wako na nini unatakiwa uvae, hii itasaidia kuonyesha zile feature zako nzuri na kuficha zile ambazo usingependa zionekane, lakini pia itakupa muonekano sahihi kutokana na mwili wako bila kutumia nguvu ya kuforce sio iwe ndio.
Well kwa leo tuishie hapa mpaka next time on Fashion Fix lakini pia tungependa kupata maoni yenu ya nini mngependa tuongelee katika segment hii.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/makosa-ya-ki-fashion-unayo-yafanya-na-jinsi-ya-kutatua-1/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/makosa-ya-ki-fashion-unayo-yafanya-na-jinsi-ya-kutatua-1/ […]