Huwa tunasema fashion haina mipaka, tumia uwezacho as long as unaona kinafaa katika muonekano wako.
Tumeshaona watu maarufu kadhaa wakitumia vitu vya ndani katika mionekano yao kama tulimuona Harmonize akitumia vijiko ma visu katika vazi lake,
tumeona Diamond platnumz alivyotumia kitambaa cha pazia kushonea suit
na leo tunamuona mama Dangote ambae yeye ametumia vibanio vya kubania pazia kuwa mkufu
Mama Dangote alishare hii picha akiwa amevalia mavazi na remba la blue, makeup ikiwa imetulia kabisa na akamalizia muonekano wake na mkufu ambao katika kuungalia kwetu kwa makini tukagundua ni kibanio cha kubania pazia

Well vibanio hivi huwa vinauzwa maduka wanayouza pazia kuanzia tsh 5,000 tu kama umependa ubunifu huu unaweza kujaribu but kabla ya hapo tuambie slap or clap kwa ubunifu huu wa mama Diamond
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…