Ulimwengu wa Instagram umeleta mambo mengi, kuna ambao wana fanya biashara, wanao nadi vyakula na pia wanao onyesha ujuzi wao katika mavazi na mitindo hawa ni wengi zaidi. Wenye kuonyesha umashuhuri wao katika mitindo huwa wanaonyesha wana vaa nini kila siku (#OOTD) Out Fit Of the Day, Hawa wana wafuasi wengi ukizingatia kila mtu ana taka kwenda kwa wakati.
Bwana Peepy @peepy_hi_mag na mama yake Bibi Lee ni kati ya watu walio jipatia umaarufu sana katika mtandao wa Instagram kwa mitindo yao hasa kwa kuvaa sare sare mama na mwana. Wengi tumezoea kuona mama na mtoto wake wa kike ndio wavae sare au baba na mtoto wa kiume lakini Lee na Peepy imekua tofauti kidogo kwa sababu Peepy ni mwanaume na ana vaa sare na mama yake hicho ndicho kinacho wavutia wengi zaidi.
Kwa jinsi ambavyo inaonekana mama Lee na Mwanae wana penda nguo za maua maua na mpaochi ya kufanana pia urembo kama miwani na pete.
Peepy ana fanya kazi katika gazeti la mitindo (Bangkok-based fashion magazine) kama mhariri mkuu wa gazeti ilo.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 17672 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mama-na-mwana-waja-na-yao-katika-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mama-na-mwana-waja-na-yao-katika-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mama-na-mwana-waja-na-yao-katika-mitindo/ […]