Hatuwezi kuacha kusifia pale sifa zinapo stahiki na kukosoa pale ambapo tunaona pamekosewa hili kujenga Miss Tanzania bora kwa miaka ijayo, tuanze kwa kusema tumefuraishwa na event ya Miss Tanzania mwaka huu. Imeonekana kwamba waandaaji wameanza kusikiliza maoni ya wengine pia. Leo tunaleta mambo matano tuliyoyapenda
Maoni yetu kwa washiriki wa Miss Tanzania 2018
- Warembo waliandaliwa vyema
Warembo walikuwa na vibe nzuri, kuanzia kutembea, smiles kwenye sura zao, tukiongelea confidence kwenye kujibu maswali ilikuwa nzuri sana. Ilikuwa unasikia tu kuendelea kuwaangalia na kuwasikiliza wakiongea na walitupa tabu kujua nani atashindwa kwa maana wote walikuwa vyema.

- Vazi la ubunifu
Tuseme Amen hapa, finally tumeanza kufanya vitu vinaeleweka na kuondoa yale magazeti, migomba na viroba. Mwaka huu tumeona washiriki wamejitahidi kuwa na mavazi ya ubunifu yenye kueleweka sisi kwetu tulipenda sana concept behind the costumes kama ambae alivaa skirt yenye mlima Kilimanjaro, aliyebeba Bendera ya Tanzania mgongoni mwake akimaanisha analiwakilisha Taifa lake lakini pia aliyeingia na ngalawa akavaa skirt ya blue chini ikiwa kama bahari,ziwa au mto.
- Zawadi Kutolewa Kwa Wakati
Hiki ni kitu ambacho kilikuwa kinasumbua sana miaka michache nyuma, warembo kutokupewa zawadi zao kwa wakati sahihi, lakini mwaka huu tumeona mabadiliko ambapo warembo wamekabidhiwa zawadi zao kwa wakati. Hii itawapa hamasa na wale ambapo walisha vunjika moyo wa kushikiri na kushiriki tena miaka ijayo.

Hogereni Miss Tanzania Committee kwa kupiga hatua mbele kwenye shindano hili.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mambo-3-yaliyotuvutia-kutoka-katika-event-ya-miss-tanzania-2020/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/mambo-3-yaliyotuvutia-kutoka-katika-event-ya-miss-tanzania-2020/ […]