Fashion ni maisha, kwanini tunasema ni maisha sababu Fashion ipo milele na huwezi kutembea barabarani hujavaa that means chochote unachovaa kinahesabiwa kama mtindo, well leo tunaongelea mambo matatu ambayo hutajwa kama makosa ya Fashion lakini kumbe si makosa kabisa, na mambo haya husemwa ni makosa kutokana na imani ya watu wengi kuamini kitu fulani ni kosa lakini kumbe ni kitu cha kawaida,
- Kuvaa Outfit Moja Mara Kwa Mara
Mara ngapi umekutana na post katika baadhi ya pages kwenye mitandao ya kijamii ikimsema mtu fulani kwa kurudia vazi? mara nyingi right? well we are guilty for that too. Kurudia sio fashion crime kabisa if you like it wear it, iwe unaweza kuufanya muonekano huo ubadilike au kuvaa vilevile thats your choice, lakini pia nani ananunua nguo avae mara moja na kuzitupa? even Bill Gates repeat who are you not too?
- Kutokuwa FashionableÂ
Well ni mara nyingi tumeshawahi kusikia watu wa kisema huyu nae style zake za ki-zamani au hiki kitu kimevaliwa wee yeye ndio unavaa leo, sio kila mtu anaweza ku-keep up na mitindo kwa hiki kinavaliwa sasa hivi basi na yeye akijue au ajue hiki kipo out dated, na sio dhambi kuvaa kitu ambacho kimeisha wakati we say if you like it wear it sio kosa wala dhambi ya fashion.
- Kuvaa Sio Umri Wako
Kuna rules nyingi katika fashion ambazo unaweza kuzi – break after all rules are made to be broken, kuna rule inasema kuvaa kutokana na umri wako sisi tunasema vaa kutokana na unavyojisikia kama unajisikia vizuri kuvaa chochote basi vaa, tunachojua unaweza kuvaa vibaya kutokana na event lakini sio umri, fashion haijui umri,vaa kile ukipendacho as long as unapendeza na unajisikia vizuri ukikivaa.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mambo-matatu-ambayo-husemwa-ni-makosa-ya-fashion-lakini-si-makosa-kabisa/ […]