Mwaka jana katika Tamasha kubwa la SFW tuliona moja ya trend ambazo zilitamba katika jukwaa hilo ni hii rangi ya Mustard yellow, ni rangi ambayo inaelekea kuwa gold fulani, a very nice color ipo calm na inaweza kuvaliwa na chochote. Week hii katika mitandao ya kijamii tumeona ndio rangi ambayo imetamba zaidi watu maarufu mbalimbali wameonekana kuvalia rangi hii, unaweza kuiga namna ambavyo wame-style mavazi yao ya rangi hii
Photographer & Videographer @benardatilio, alisheherekea birthday yake in this mustard yellow suit kutoka kwa mbunifu speshoz mara nyingi huwa tunasema ku-stand out hakuhitaji nguvu nyingi even a color can make you stand out. We love that ni mwanaume na ame-dare kuvaa colorful suit.
Nigerian Media Personality and a fashionista Toke Makinwa na yeye ameonekana akiwa amevalia hii rangi ambapo yeye alivaa a wrapped mustard yellow dress, blue celine handbag aliyo match na viatu vyake akamalizia muonekekano wake na sunglasses, hereni na bracelets, Brunch anyone?
Dada wa taifa Mange Kimambi yeye alivalia a mustard yellow blazer dress, black thigh high boots na amebeba handbag ya Lv.
Nandy yeye alichagua two pieces Mustard yellow outfit amemalizia na fur dropped earrings na black funny pack.
Wakati mwanamuziki Linnah yeye alichagua kuvaa mustard yellow crop top, blue min skirt akamalizia na leopard print fanny pack, mules na miwani, if this isn’t weekend outfit goals we don’t know what is.
New Wifi all the way from Kenya, Tannasha na yeye tumemuona in mustard yellow long sleeve top, blue jeans, kicks akimalizia na leopard print funny pack.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…