Usiku wa kuamkia Jumatatu kulikuwa na Tuzo kubwa za Oscar, Tuzo ambazo zilihudhuriwa na watu maarufu mbalimbali walioalikwa, mwanamuziki kutoka Nigeria, Tems nae alihudhuria hafla hii akiwa amevalia vazi lake zuri lakini lilipata feedback mbaya kutokana na headpiece kuwaziba kuona waliokuwa nyuma yake.
Well tumepokea maoni kutoka kwa mwana-fashion Fahyma au Fahvanny kuhusu vazi hilo na wapi kosa lilikuwepo
Fahyma “Ningependa uwe unaelezea kiundani ili watu wakuelewe wewe kama mwana fashion ili wajifunze pia?
Hiyo nguo haikuwa na shida hata kidogo tena amevaa mahali stahiki, sema tu alichokosea yeye nikuingia ndani ya ukumbi na hiyo nguo wakati hiyo ni drama ya red carpet tu nasio nguo ya kuingia ndani then ukae nayo

Akaendelea kwa kusema “So many of us hatujui tuvae nini red carpet na pia hatujui tuvae nini ndani ya ukumbi, wewe kama mwanafashion you have to kuelezea kwa undani zaidi ili watu wakuelewe pia
Watu wengi wanahisi tems amekosea kuvaa no hajakosea na kiukweli yeye ndie star alie funika ktk red carpet juzi hakuna alie pendeza kumzidi, the problem is ameshindwa kutofautisha tu”
NOTE: Tunaahidi kuwa tunatoa maoni pale ambapo patakuwa hapaeleweki lakini pia tunaruhusu kupokea maoni kutoka kwa wengine, asante Fahyma kwa maoni yako.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…