Tarehe 23 Feb 2019, Tamasha la mitindo liitwalo Fashion Couture Affair lilifanyika kwa mara ya kwanza hapa Nchini kwetu Tanzania, wabunifu mbalimbali wali-showcase kazi zao na tunaweza kusema we can’t wait kuona mwakani watatuletea nini. Onyesho hili lilijumuisha wabunifu kutoka Tanzania na Nchini Kenya tulipata ku-experience wenzetu wanafanya nini huko Nchini kwao.
Kulikuwa na wabunifu 7 ambao watani wanatoka Tanzania wakati wawili wakitokea Kenya
Kidato designs 🇹🇿
Levra with culture 🇹🇿
Angel Hudson 🇹🇿
Baghai classic fashion 🇰🇪
Mahamus Designs🇹🇿
Africa By Linet 🇰🇪
Rama D🇹🇿
Nini ambacho tuiona Jukwaa hili la Fashion Couture affair limefanya
- Iliwapa jukwaa young designers
Jukwaa hili lilichukua wabunifu wachanga, ambao hawana majina, kwetu sisi tumeona hili ni jambo jema na zuri kuwapa nafasi damu changa kuonyesha kazi zao na kupata nafasi ya ku-platform kazi zao.
- Tuliona wabunifu wenzetu wa Kenya zao Zikoje, Tukajenga urafiki
Hakuna kitu chema kama kujenga urafiki na ujirani pamoja na Nchi nyingine kupitia vitu mbalimbali kama mitindo, lakini pia as Tasnia yetu bado inakua ni vizuri kujihusisha na Nchi nyingine ili kujifunza zaidi wenzetu wanafanya kitu gani na wapi tunakosea tujirekebishe.
- Iliwapa nafasi models wachanga
Kam ailivyokuwa kwa wabunifu, tumeona pia Jukwaa la Fashion Couture Affair liliwapa nafasi wanamitindo wachanga kupita katika jukwaa hili, tumepata kuona kazi za upcoming models na wao wanafanya nini.
- Â Good decor and set up plus music
The set up was amazing, well organised, good decor & good music.
Designers walikuja kuwasupport. Martin, Agness, Shaabaz
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/maoni-yetu-katika-fashion-couture-affair-event-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/maoni-yetu-katika-fashion-couture-affair-event-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/maoni-yetu-katika-fashion-couture-affair-event-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 75318 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/maoni-yetu-katika-fashion-couture-affair-event-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/maoni-yetu-katika-fashion-couture-affair-event-2019/ […]