Kitu kizuri kuhusu style ni kwamba una enda na kile kitu unacho kipenda, ambacho una feel kipo right na wewe. Kama uwezo wako wa kucheza na mavazi yako, hapa ndipo mara nyingi wengi huwa wana fail, kwa sababu shati lime undwa livaliwe kama shati button up, official basi kila siku mtu atavaa hivyo hivyo kama a stylish person hio rule huwa hai’apply kwetu. Kuna ule msemo una sema think beyond au kule kuvuka mpaka uliyo wekewa. Jaribu ku changanya rangi na jaribu ku style nguo zako namna tofauti fotauti hii itakupa mionekano mipya kila siku.
Well leo tuna yule young Tanzanian Movie star & A Slayer Elizabeth Michael a.k.a Lulu, lulu ame tufurahisha jinsi alivyo amua ku style mashati yake kama crop top ni easy trick ambayo mtu yoyote ana weza akaifanya
mara ya kwanza aliva floral shirt ambayo aliifungua vifungo vyote aka funga fundo katikati as a crop top, kakunja mikono, ame accessories na vitu vingi kama choker, miwani,hereni,saa na mkoba alivaa shirt yake hio na high waist jeans na nude open heels.
tulicho penda kuhusu huu muonekano una weza kuwa date to night, ana weza akaachia shirt akafunga vifungo vyote bila kuchomekea akawa casual, lakini pia akatoa miwani na choker akafunga tena vifungo vya shirt mpaka juu, akateremsha mikono akachomekea na kuvaa a blaze or not akawa official japo hio suruali nayo isinge kuwa distressed ingekuwa bora zaidi unless uwe ume jiajiri.
Mara ya pili Lulu alivaa plaid shirt hii aliamua kuachia mikono na ki crop top kukivuta juu kidogo sio kama mara ya kwanza, pia ali accessories na mkufu na kikofia which tume kipenda mno, tume penda rangi ya suruali lakini ali opt kuwa casual zaidi kwa kuvaa safari boots.
we are so feeling Lulu’s style keep it up baby girl. Je ume penda muonekano A au B?
Tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamg
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mara-2-elizabeth-michael-amevaa-shati-kama-crop-top-we-likey/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/mara-2-elizabeth-michael-amevaa-shati-kama-crop-top-we-likey/ […]