Mbunifu Martin Kadinda amedebut collection ya “She Gentle” Katika jukwaa la Swahili Fashion Week, ikiwa ni collection ya kwanza ya Just Mk Collection kuwa debuted.
Collection ilikuwa ina looks mbalimbali za kiume na za kike, ambapo alichagua rangi ya pink katika collection yake hio.
Martin ni moja ya wabunifu ambao wana invest katika kutambulisha collection zake mara zote huwa anaenda extra miles, mwaka jana tuliona alipandisha models wakiwa wanatembea kama robot lakini mwaka huu he gave us Queen theme ambapo tumeona ametoa theme hii katika movie ya coming to America. Hii imetufanya tufikiri kwanini wabunifu wengine wanashindwa kufanya hivi? Swahili wanakupa jukwaa ni wewe na u-creative wako ndio utakao fanya watu waondoke wakiongelea collection yako, guess who is being talked right now? Martin Kadinda.
With that being said lets see ni nini kilikuwepo kwenye collection hii







Collection ilikuwa na gauni, suruali, mashati, kaptula na vingine vingi well afromates mmeonaje collection hii mpya ya Martin Kadinda?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/martin-kadinda-debuted-she-gentle-collection-at-swahili-fashion-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/martin-kadinda-debuted-she-gentle-collection-at-swahili-fashion-week/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/martin-kadinda-debuted-she-gentle-collection-at-swahili-fashion-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/martin-kadinda-debuted-she-gentle-collection-at-swahili-fashion-week/ […]