Haji S Manara a.k.a Al Bughatti jana ametoa masharti 10 ya kuvaa Safari Suit, kupitia ukurasa wake wa Instagram Haji alipost picha akiwa amevalia burnt orange suit kutoka kwa mbunifu Jm Collection

huku akiipeleka picha yake hio na caption iliyosema “
Masharti ya kuvaa Safari Suit
1- Make Sure hucheki cheki hovyo kama Zuzu
2- jitahidi walau Boxer iwe mpya
3- Mifuko ya Koti au ya Suruali ,make sure haijawekwa Maandazi,kashata au chakula chochote.
4-Hata ukiibiwa Simu na kibaka usiffoke, Sema mara moja tu bila kelele, Mwizi huyooo, kisha muache aende nayo.
5-Usipande Boda Boda na ukipanda Bajaji, tumbukia fasta ndani Raia wasikuone.
6-Mwendo kasi,Daladala au kutembea kwa miguu ni kosa kubwa kuliko kubaka.
7- Wallet yako isipungue laki tano mfukoni.
8-Ikitokea Unawashwa sehemu katika mwili wako usijikune, Vumila, Coz Suti za aina hii zinahitaji utulivu.
9-Usile chakula chochote cha Jamii ya Nafaka unapotinga Suti kama hii mwilinii ,Maharage na Wapwa zake kina kunde na Njugumawe ni Haraam.
10- fanya practice ya kuwa Tajiri nenda Five Star hotel chukua Chumba hata kama pesa huna, Asubuhi waambie hela sina, nakuhakikishia watakuachia uondoke Kwa heshma ya Suti yako.
DressĀ @jm_international_collection
well sharti lipi limekufurahisha zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…