Imekuwa kama Fashion siku hizi kufanya maternity photo shoot, sio kwa watu maarufu au sie tusio julikana. Si kitu kibaya though ni kitu kizuri kuwa na kumbukumbu nzuri za kunyesha wajukuu zetu baadae. Week hii zime onekana couples hizi za watu maarufu wakiwa wame fanya maternity photo shoot na kiukweli zime tufanya tufikirie what to consider ukiwa una fanya photo shoot hii.
Zari looks good kwenye outfit yake ya mama Africa, kiremba, Neck piece,make up on point yaani she looks flawless, Diamond pia until unotice hio hair style yake. Seriously ime tusumbua kukubaliana na kwamba ame fanya photo shoot ya gazeti na hivyo vinywele well ina wezekana hakutaka kunyoa lakini wame vaa ki-Africa ange vaa balaghashia au hata turban well its his choice though.
Ray nae amependeza mno katika photo shoot yao, lakini chuchu mhhh, Mamy utawaonyesha wajukuu zako kweli? maana miaka inavyo zidi kwenda fashion ina zidi kukua sasa hii gauni na hizo boots hatujajua nini uliwaza ila ITS A BIG NO KWETU yes NO in CAPITAL LETTERS
How about Ray na Diamond Waki trade place katika hizi photo shoot? do you get the picture?
tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/maternity-photo-shoot-ya-rar-na-chuchu-vs-diamond-na-zari/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/maternity-photo-shoot-ya-rar-na-chuchu-vs-diamond-na-zari/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/maternity-photo-shoot-ya-rar-na-chuchu-vs-diamond-na-zari/ […]